Makamu wa Kwanza wa Rais-Zanzibar Ajitokeza katika kinyanyiro cha kugombea Umakamo Mwenyeti ACT
Na Mauwa Mohammed Zanzibar Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amesema ameamua kuomba nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa chama hicho ili apate nafasi ya kushirikiana na wenzake katika kutimiza malengo ya chama hicho. Hayo aliyasema mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi hiyo huko Afisi Kuu ya Chama
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed